Social Icons

Wednesday, May 7, 2014

PICHA ZA MAHAFALI 2014 -TUCASA DODOMA ZONE

Zifuatazo ni picha za mahafali mwaka 2014 TUCASA-DODOMA ZONE yaliyofanyika UDOM katika Cafeteria ya break point.
Tazama picha ni jinsi gani mahafali hayo yalipendeza

Huu ni wakati wa marching wahitimu kuingia ukumbini




Endelea hapo kupata nyingine ziko nyingi tu







Ndani ya ukumbi na sherehe imeanza sasa



Edeni-UDOM SDA choir wakiimba



Meza kuu





Wahitimu nao wakiimba wimbo, furaha iliyoje?



The Heirs Wakiimba


Ni muda wa kugawa vyeti sasa









Hatimaye muda wa maakuli umefika


Keki hiyooooooooooooooooooo


Muda wa kukata keki(Mwenyekiti mstaafu wa TUCASA-UDOM Paschal Samson akikata keki
Hakika ilikuwa siku ya furaha sana
Mungu awabariki wote mlioifanikisha

No comments:

Post a Comment