Social Icons

Tuesday, May 21, 2013

MAHAFALI YA TUCASA KANDA YA DODOMA

 Kama kuna wakati mgumu katika maisha ni wakati wa kuagana



Napenda kuwaalika wote katika mahafali ya Certificates,Diploma,Bachelor na Masters ..TUCASA-DODOMA ZONE yatakayofanyika katika chuo cha Mipango siku ya tar 26 may 2013...Njoo tuwaage wenzetu na kuwapongeza kwa kupiga hatua nyingine ya maisha.. Mungu awalinde nyote





WOTE MNAKARIBISHWA


No comments:

Post a Comment