Bwana
 asifiwe!!!! tunapenda kuwatangazia kuwa siku ya kutatua matatizo ya PA 
system ya TUCASA-UDOM ni tarehe 11/1/2014 kutakuwa na siku nzuri kwa 
ajili ya changizo kumbuka kila mwanachama aandae angalau sh 10,000 kwa 
ajili ya kuchangia siku hiyo. Pia wale Associate members tunawakaribisha
 kuungana nasi katika kuchangia ukiguswa like hii. tunahitaji sh milioni
 4 kwa ajili ya kuboresha idara ya mawasiliano. Mungu akubariki 
unapojiandaa kuchangia katika kufanikisha kazi ya MUngu. 
kwa mawasiliano zaidi tumia email ya thisdasoudom@gmail.com 
wote mnakaribishwa kuchangia
Mungu awabariki nyote
 
 
 
No comments:
Post a Comment