Social Icons

Sunday, August 3, 2014

Wapendwa Makambi yamefika!

Msimu wa Makambi umefika wapendwa, Tufanye hima kuhudhuria mikutano hii muhimu kokote tulipo. Pia, tukumbuke kuwaalika ndugu jamaa na marafiki ili wote tupate baraka Hizi. Mungu awabariki!

Zaburi 32:1-2
1. Heri aliyesamehewa dhambi, Na kusitiriwa makosa yake.
2. Heri BWANA asiyemhesabia upotovu, ambaye rohoni mwake hamna hila.

No comments:

Post a Comment