Social Icons

Saturday, February 1, 2014

TUNAWATAKIA MTIHANI MWEMA

Chama cha wanafunzi waadventista kutoka chuo kikuu cha Dodoma yaani TUCASA-UDOM inapenda kuwatakia mtihani mwema wapendwa wote mnaonza kuanzia jumatatu 3/2/2014 hasa wale wa UDOM Bwana awe nanyi katika mitihani yenu na muweze kufanya vyema zaidi jina la Bwana litukuzwe.

Bwana awabariki

No comments:

Post a Comment