Social Icons

Tuesday, March 25, 2014

SABATO MAALUM

Tunapenda kuwatangazia kuwa katikati ya Effort tunazoendelea nazo tumepata mbaraka wa  pekee. Pamoja na kuwa na semina ya elimu itakayofanyika College of Informatics and Virtual Education tarehe 28/03/2014 siku ya ijumaa kuanzia saa 1:30 jioni hadi 4:00 usiku Lakini pia siku ya jumamosi tarehe 29/03/2014 tutasali na wahadhiri wetu katika school of Humanities kuanzia asubuhi hadi jioni wakitufundisha mambo mbali mbali yanayohusu maisha kwa ujumla. Fika bila kukosa, njoo na rafiki yako tujifunze pamoja.
Mungu akubariki unajiandaa na sabato hiyo

No comments:

Post a Comment