Social Icons

Tuesday, March 25, 2014

SEMINA YA ELIMU

Tunapenda kuwatangazia kuwa tarehe 28/04/2014 kutakuwa na semina kubwa ya Elimu(How to score high) itakayoendeshwa na Kiongozi wa idara ya Elimu toka ETC katika College of Informatics and Virtual Education Venue ni FL1 kuanzia saa 1:30 jioni  hadi saa 4 usiku. Jitahidi uje upate elimu itakayosaidia maisha yako kwaya mbali mbali zitahudumu kama vile Edeni-Udom,Sinai-Udom, Calvary-Udom,Haleluya-Udom na Tumaini-Udom.
Mungu awabariki mnapopanga kuhudhuria

No comments:

Post a Comment