Social Icons

Monday, April 28, 2014

MAHAFALI YAMEFIKA

Wapendwa tunawakumbusha kuwa mahafali ya TUCASA kanda ya Dodoma yamefika kwani ni tarehe 4/5/2014 kumbuka kuwa tunapaswa kushirikiana na wenzetu kwa kuwaaga na kuwatakia baraka za Bwana,







 Hivyo kama hujatoa mchango wako kumbuka kutoa kwa mhazini wako wa tawi na mwisho wa kutoa ni tarehe 30/4/2014. jitahidi tushirikiane pamoja katika mambo yote.Mungu awabariki.

No comments:

Post a Comment