Social Icons

Monday, April 28, 2014

PICHA ZA VIONGOZI WANAOENDA KUKABIDHI

 Hawa ni viongozi wa TUCASA_UDOM 2013/2014 wanaojiandaa kukabidhi jmosi ijayo tarehe 3/5/2014. Wakiwa katika picha  za pamoja katika kikao chao cha mwisho kilichofanyika college of Informatics and Virtual Education(CIVE) wakiwa pamoja na Pastor Baraka Butoke

Viongozi katika picha ya pamoja



Viongozi katika picha ya pamoja



Mwenyekiti anaemaliza muda wake Lazaro Moris(kushoto) akiwa na mwenyekiti anaeingia Sunday Aron(kulia) 

No comments:

Post a Comment